"Mafanikio" Mahnı sözləri
"Mafanikio" sözünün suahili dilində sözləri var.
"Mafanikio" mənası suahili dildən gəlir və hazırda ingiliscə tərcüməyə çevrilmir.
intro: Barakah The Prince
kila mtu anataka
verse 1:Fid Q
Kujisikia nipo juu mie sitaki hizo deals/
sipendi makuu hivyo nitabaki kuwa
na kila track ya Q aaah,.. ni wazi utaifeel/
ni wazi iko full aah MZAZI ninakill/
ninamwagika kama
ninaheshimika na sio kanjibai/
kwa huu mziki wa bajaji hadi kwa washkaji wenye macadillac/
unawashika ile
unauzika sana maghetoni/
ilimradi tu wawe happy
tu ila party noooo/
mkisinzia mtaniudhi nishawapa vyeo/
tuwape wapuuzi waliodai hii haiuzi haya matokeo/
safari ni
kufika inabidi uianze/
haina kukita au
inabidi ukaze/
ingia, ongoza au fuata mkia, kukimbia ni mwiko/
kuanzia ulipo sio sawa na kubakia ulipo/
nikisema 'chini hapana' nina maana fanya unyanyuke/
na ukiamini umesimama
komaa usianguke/
ukijituma na neema
nyuma walio-give up mapema wangekaza wangeifikia/
unafki usiuruhusu/
yajue ya kuzingatia ili uachane na yasiyokuhusu/
kibongobongo longolongo shazi/
endelea kusaka mchongo hata ukipata kazi/
HOOK: Barakah the prince
Tunachukiana?
ila sio sababu kuacha riadha ya mafanikio/
ongeza mbio/
sababu kila mtu, kila kona anasaka mafanikio/
haukungoji
ooh wewe/
zinapita
wewe/
muda wako
oh wewe/
verse 2:Fid Q
Na kughairisha kisa haupati sapoti/
ni kujificha na kuuliza
iko wapi ile tochi?/
haupati ile noti/
na wakati wa ule uboss ushapotea/
hautaki ukose? usiache ofcoz endelea/
utafanikiwa kwa unachojua au unachofanya/
wachache ndio hutusua kwa jinsi tu wanavyoonekana/
mafanikio hayaji ukikata
yenyewe huwafuata wanaojituma na wale wasiosukumwa na njaa/
sipigi kila dili mipaka imezingatiwa/
sitaki kuwa tajiri ninataka kufanikiwa/
ili kuheshimiwa kwanza ni lazima ujiheshimu/
lakini kufanikiwa ni maujanja tu sio lazima elimu/
ili kuyadaka wengine hugeuka wabaya/
mafanikio kwenye kuyasaka wengine hugeuka malaya/
hugeuka was(i)o haya/
kutwa utawakuta kwa babu/
na anayefanya mambo ya maana huwa hana muda wa kuyahesabu/
kwenye kuyasaka hakikisha haufilisiki/
haupotezi maisha au vile vitu havinunuliki/
sio kama hatucheki kwasababu tumezeeka?/
ni tunazeeka kwasababu hatujawahi cheka/
HOOK: Barakah the prince
Tunachukiana?
ila sio sababu kuacha riadha ya mafanikio/
ongeza mbio/
sababu kila mtu, kila kona anasaka mafanikio/
haukungoji
ooh wewe/
zinapita
wewe/
muda wako
oh wewe/
utumie
eeeh eeeh/
bridge: Barakah The Prince
una mpenzi (na) uko lonely?/
im sorry
haujafanikiwa/
maisha ni kama boli, magoli ndio kufanikiwa/
oooh ooh
ndio kufanikiwa/
kila mtu anataka
outro:Barakah The Prince
oh mafanikio
oh mafanikio
kila mtu anataka mafanikio